WATU
  WATANO  WAMENUSURIKA  KIFO  BAADA  YA  NDEGE  WALIYOKUWA  WANASAFIRIA 
 KUTOKA  KATIKA  UWANJA MDOGO  WA  NDEGE WA ARUSHA   KUPATA HITILAFU  
KWENYE  INJINI  YAKE  MUDA  MFUPI  BAADA  YA  KURUKA NA  KUMLAZIMU 
RUBANI  KUTUA  KWENYE  SHAMBA  LILILOKO  KARIBU  NA  UWANJA HUO  BAADA  
YA  KUSHINDWA  KUIFIKISHA  UWANJANI 
 
KAIMU MENEJA WA UWANJA WA NDEGE WA ARUSHA BW, BASHIRU JUMA AMESEMA AJALI HIYO IMETOKEA SAA SITA NA DAKIKA HAMSINI NA TANO JANA IKIWA NI DAKIKA TANO TU BAADA YA KURUKA IKIWA NA ABIRIA WANNE NA RUBANI MMOJA IKIWA INATOKA KWENYE UWANJA HUO KWENDA KWENYE UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA KIMANJARO
 
KWA MUJIBU WA BW BASHIRU, AJALI HIYO YA NDEGE AINA YA CARAVAN 5H ZEB YA KAMPUNI YA COASTAL AIR HAIKULETA MADHARA NA ABIRIA WOTE PAMOJA NA RUBANI WAMETOKA SALAMA NA PIA HAKUNA UHARIBIFU WOWOTE UNAOONEKANA KWA MACHO KWENYE NDEGE HIYO NA KWAMBA TARATIBU VYOMBO VINAVYOHUSIKA NA MASUALA YA ANGA KUCHUNGUZA TUKIO HILO ZINAENDELEA.
KAIMU MENEJA WA UWANJA WA NDEGE WA ARUSHA BW, BASHIRU JUMA AMESEMA AJALI HIYO IMETOKEA SAA SITA NA DAKIKA HAMSINI NA TANO JANA IKIWA NI DAKIKA TANO TU BAADA YA KURUKA IKIWA NA ABIRIA WANNE NA RUBANI MMOJA IKIWA INATOKA KWENYE UWANJA HUO KWENDA KWENYE UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA KIMANJARO
KWA MUJIBU WA BW BASHIRU, AJALI HIYO YA NDEGE AINA YA CARAVAN 5H ZEB YA KAMPUNI YA COASTAL AIR HAIKULETA MADHARA NA ABIRIA WOTE PAMOJA NA RUBANI WAMETOKA SALAMA NA PIA HAKUNA UHARIBIFU WOWOTE UNAOONEKANA KWA MACHO KWENYE NDEGE HIYO NA KWAMBA TARATIBU VYOMBO VINAVYOHUSIKA NA MASUALA YA ANGA KUCHUNGUZA TUKIO HILO ZINAENDELEA.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni