WANAWAKE SASA WACHANGAMKIA ULABU KWA IDADI SAWA NA WANAUME

Utafiti wa unywaji kilevi duniani unaonyesha kuwa wanawake sasa wamefikia idadi sawa na wanaume kwa unywaji wa kilevi.

Utafiti huo ni kinyume na matokeo ya miaka 1891 na 2001 ambayo yalikuwa yakionyesha wanaume wamekuwa wakiongoza kwa kunywa kilevi kuliko wanawake.

Hata hivyo kizazi cha sasa cha wanawake kinaonekana kuanza kulingana sawa katika unywaji kilevi na wanaume na kubadili hali hiyo tofauti iliyokuwepo katika miaka ya nyuma.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni