Vijana
 wasomi 53 wa grupu la Whatsapp la WAZALENDO wakikamilisha kufyatua 
matofali 45,000 kwa ajili ya mabweni matano na  nyumba tano za walimu 
Shule ya Sekondari ya Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani, umbali
 wa kilomita 151 kutoka Dar es salaam, na kilomita 53 kutoka makao makuu
 ya Wilaya. 
Vijana hao, ambao wameungana katika grupu la Whatsapp la WAZALENDO, leo wamekutwa wakifanya kazi hiyo nzito huku wakihamasika kwa nyimbo wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mhe. Filbert Sanga (wa pili kulia pichani juu).
Vijana hao, ambao wameungana katika grupu la Whatsapp la WAZALENDO, leo wamekutwa wakifanya kazi hiyo nzito huku wakihamasika kwa nyimbo wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mhe. Filbert Sanga (wa pili kulia pichani juu).
 Vijana
 hao, 14 wakiwa wanawake na 39 wanaume, walikubaliana kupiga kambi 
shuleni hapo toka Septemba 27, 2016  na kufanya kazi hiyo ya kujitolea 
na bila malipo kwa moyo mmoja na kufanikiwa kufyatua matofali hayo. 
Kambi hiyo inatarajiwa kufungwa kesho Jumamosi Oktoba 29, 2016 na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Profesa Joyce Ndalichako
 Mmoja wa vijana hao wasomi akielekea kazini
 
 Sehemu ya vijana hao wasomi 53 wakichota maji ili kukamilisha kufyatua 
matofali 45,000 kwa ajili ya mabweni matano na  nyumba tano za walimu 
Shule ya Sekondari ya Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
 Sehemu
 ya vijana hao wasomi 53 wakichota maji ili kukamilisha kufyatua 
matofali 45,000 kwa ajili ya mabweni matano na  nyumba tano za walimu 
Shule ya Sekondari ya Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
 Sehemu
 ya vijana hao wasomi 53 wakichota maji ili kukamilisha kufyatua 
matofali 45,000 kwa ajili ya mabweni matano na  nyumba tano za walimu 
Shule ya Sekondari ya Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
 Sehemu
 ya vijana hao wasomi 53 wakichota maji ili kukamilisha kufyatua 
matofali 45,000 kwa ajili ya mabweni matano na  nyumba tano za walimu 
Shule ya Sekondari ya Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
Vijana
 hao wasomi 53 wakikamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya 
mabweni matano na  nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya 
Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
 Vijana
 hao wasomi 53 wakikamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya 
mabweni matano na  nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya 
Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
 Vijana
 hao wasomi 53 wakikamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya 
mabweni matano na  nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya 
Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
 Vijana
 hao wasomi 53 wakikamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya 
mabweni matano na  nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya 
Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
 Vijana
 hao wasomi 53 wakikamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya 
mabweni matano na  nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya 
Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
 Vijana
 hao wasomi 53 wakikamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya 
mabweni matano na  nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya 
Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
 Vijana
 hao wasomi 53 wakikamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya 
mabweni matano na  nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya 
Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
 Vijana
 hao wasomi 53 wakikamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya 
mabweni matano na  nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya 
Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mhe. Filbert Sanga akielekeza vijana sehemu ya kuweka matofali 
 Kazi ikiendelea
 Mkuu
 wa Wilaya ya Mkuranga Mhe. Filbert Sanga akiwa katika picha ya pamoja 
 na vijana hao wasomi 53 baada ya kukamilisha kufyatua matofali 45,000 
kwa ajili ya mabweni matano na  nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari
 ya Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
 Mkuu
 wa Wilaya ya Mkuranga Mhe. Filbert Sanga akipungia pamoja  na vijana 
hao wasomi 53 baada ya kukamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya
 mabweni matano na  nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya 
Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
 Mkuu
 wa Wilaya ya Mkuranga Mhe. Filbert Sanga akitoa maelekezo kwa vijana 
hao wasomi 53 baada ya kukamilisha kufyatua matofali 45,000 kwa ajili ya
 mabweni matano na  nyumba tano za walimu Shule ya Sekondari ya 
Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
 Baadhi ya wanafunzi wa shule hiyo wakiwa bwenini
 Baadhi ya wanafunzi wa shule hiyo wakiwa bwenini ambako kuna uhaba wa nafasi kiasi cha kurundikana namna hiyo
 Huko jikoni msosi unaandaliwa
 Wanafunzi wa shule hiyo wakijipanga kupata chakula cha mchana
 Wanafunzi wanapata chakula na matunda kila mlo
 Mojawapo ya nyumba chache za walimu ambamo wanakaa walimu saba
 Walimu sita kati ya saba wanaoishi kwenye nyumba hiyo
 Nishati mbadala ya solar itumiwayo na walimu hao saba
 Wanafunzi wakipata mlo wa mchana
 Vijana wasomi wanawake wanalala hapa 
 Sehemu ya vijana hao 14 wanawake wakipumzika baada ya kazi nzito
 Pamoja
 na kufyatua matofali baadhi ya vijana hao wasomi ambao ni walimu 
walikuwa wakiingia darasani kufundisha. Hapa mwalimu akiandaa kipindi 
baada ya kufyatua matofali
 Mwalimu akiandaa kipindi
 Sehemu ya vijana hao
 Jiwe la msingi
 Nje ya darasa
 Mandhari ya sehemu ya shule hiyo
 Bweni la vijana wasomi wanaume
 Pamoja na kazi nzito ya kufyatua matofali vijana hawa wazalendo wana nyuso za furaha na kuridhika kwa kujitolea kwao
 "....HAPA KAZI TU!" anasema kijana huyu mzalendo
 Furaha ya kumaliza kazi kwa mafanikio
 Kijana
 mzalendo Petro Mgoti (suruali ya njano) alikuwa katika ziara ya mafunzo
 ya wiki sita nchini Ujerumani, na aliporejea nyumbani alienda moja kwa 
moja kujiunga na wenzie huko Mkuranga.
 Furaha ya ushindi
 Utamu wa uzalendo ni kufanya kazi na kufurahi kwa pamoja
 Vijana mapumzikoni
  Jengo la darasa la maabara ambalo sasa hutumika kama bweni la wanafunzi wa ziada
  Darasa la maabara ambalo sasa hutumika kama bweni la wanafunzi wa ziada
  Darasa la maabara ambalo sasa hutumika kama bweni la wanafunzi wa ziada
 Bweni kwa ajili ya wanafunzi ndani ya darasa la maabara
 Kila sehemu ya stoo ya darasa la maabara  hutumika kama bweni la wanafunzi wa ziada
 Stoo ya darasa la maabara  hutumika kama bweni la wanafunzi wa ziada
 Darasa la maabara ambalo sasa hutumika kama bweni la wanafunzi wa ziada
 Hayo
 matofali ni alama ya kuwa upande huo wa mbele ni wa Msikiti kwa ajili 
ya walimu na wanafunzi wa Kiislamu. Wakristo na waumini wa madhehebu 
mengine hutumia madarasa
 Baadhi ya wanafunzi wa shule hiyo wakielekea bwenini
 Baada ya kazi na msosi sasa ni wakati wa kuimba wimbo wa kambi
 Wimbo wa kambi ukiimbwa na kuchezwa kwa furaha
 Kijana akishukuru kwa kuhitimishwa kwa kazi hiyo
 Mmoja wa vijana hao akishukuru Mungu kwa kumaliza kazi salama
 Sehemu ya vijana hao
 Vijana wakiwa katika kikao kidogo cha kuhitimisha kazi
 
 Kijana mzalendo Petro Mgoti (suruali ya njano) akisema machache. Yeye 
alikuwa katika ziara ya mafunzo ya wiki sita nchini Ujerumani, na 
aliporejea nyumbani alienda moja kwa moja kujiunga na wenzie huko 
Mkuranga.
 Baada
 ya kazi nzito Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mhe. Filbert Sanga akijiunga 
kupata msosi na  vijana hao wasomi 53 baada ya kukamilisha kufyatua 
matofali 45,000 kwa ajili ya mabweni matano na  nyumba tano za walimu 
Shule ya Sekondari ya Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani
Vijana
 hao wasomi 53 wakipata msosi baada ya kukamilisha kufyatua matofali 
45,000 kwa ajili ya mabweni matano na  nyumba tano za walimu Shule ya 
Sekondari ya Nasibugani wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni