Moja
 ya Ndege mpya ya serikali iliyokodishwa kwa Shirika la Ndege Tanzania 
(ATCL) aina ya Bombadier  Dash 8 Q400 ikitua kwa mara ya kwanza 
katika uwanja mdogo wa ndege wa Arusha wakati maafisa wa Mamlaka ya 
Anga(TCAA) walipokua wakifanya ukaguzi kabla ya kuanza rasmi safari za 
kibiashara nchini.
 Maafisa
 wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga(TCAA)wakilakiwa katika uwanja mdogo wa 
ndege wa Arusha mara baada ya kuwasili kwa ajili ya kufanya ukaguzi 
kabla ya safari kwa ndege hizo kuanza.
 Mjumbe
 wa Bodi ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) ,Ibrahim Mussa 
ambaye pia ni Mkurugenzi wa Utalii wa Shirika la Hifadhi za Taifa 
nchini(TANAPA) akizungumza na waandishi wa habari juu ya faida za utalii
 zitakazotokana na kukua usafiri wa anga nchini.
  Baadhi
 ya watumishi wa uwanja mdogo wa ndege wa Arusha wakifurahia ndege aina 
ya Bombadier baada ya kupata nafasi ya kuingia ndani ya ndege hiyo na 
kujionea mandhari yake.
  Mkuu
 wa kitengo cha usalama wa Shirika la ndege Tanzania (ATCL) ,John Chaggu
 akijiandaa kuingia ndani ya  ndege kwa ajili ya kuendelea na ukaguzi 
katika viwanja vingine nchini ambavyo ndege hiyo itatoa huduma.
Na Mahmoud Ahmad wa Manyara leotz blog
KAWAIDA.
 Moja ya Ndege mpya ya serikali iliyokodishwa kwa Shirika la Ndege 
Tanzania (ATCL) aina ya Bombadier Dash 8 Q400 ikitua kwa mara ya kwanza 
katika uwanja mdogo wa ndege wa Arusha wakati maafisa wa Mamlaka ya 
Anga(TCAA) walipokua wakifanya ukaguzi kabla ya kuanza rasmi safari za 
kibiashara nchini.
 Maafisa
 wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga(TCAA)wakilakiwa katika uwanja mdogo wa 
ndege wa Arusha mara baada ya kuwasili kwa ajili ya kufanya ukaguzi 
kabla ya safari kwa ndege hizo kuanza. Mjumbe wa Bodi ya Shirika la 
Ndege Tanzania (ATCL) ,Ibrahim Mussa ambaye pia ni Mkurugenzi wa Utalii 
wa Shirika la Hifadhi za Taifa nchini(TANAPA) akizungumza na waandishi 
wa habari juu ya faida za utalii zitakazotokana na kukua usafiri wa anga
 nchini.
 Baadhi
 ya watumishi wa uwanja mdogo wa ndege wa Arusha wakifurahia ndege aina 
ya Bombadier baada ya kupata nafasi ya kuingia ndani ya ndege hiyo na 
kujionea mandhari yake. Mkuu wa kitengo cha usalama wa Shirika la ndege 
Tanzania (ATCL) ,John Chaggu akijiandaa kuingia ndani ya ndege kwa ajili
 ya kuendelea na ukaguzi katika viwanja vingine nchini ambavyo ndege 
hiyo itatoa huduma.
 Baadhi ya wananchi waliokua wakipita kando ya barabara walilazimika kuishudia ndege hiyo.


  
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni