MAJALIWA AZUNGUMZA BAADA YA SALA YA IJUMAA MSIKITI WA NUNGE DODOMA
posted on
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya Sala ya Ijumaa kwenye
Msikiti wa Nunge mjini Dodoma Oktoba 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akishiriki katika Dua ya kuwaombea wanafunzi wote
wa Tanzania wanaotarajia kufanya mtihani wa Kidato cha Nne ili wafanye
vizuri akiwa katika Sala ya Ijumaa kwenye Msikiti wa Nunge mjini Dodoma
Oktoba 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi
ya waumini wa dini ya Kiislam wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa wakati alipozungumza baada ya sala ya Ijumaa kwenye Msikiti
wa Nunge mjini Dodoma Oktoba 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya waumini wa dini ya
Kiislam baada ya Sala ya Ijumaa kwenye msikiti wa Nunge mjini Dodoma
Oktoba 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Meya wa manispaa ya Dodoma,
Jafar Mwanyemba na Sheikh Shabaan Kitila baada ya Sala ya Ijumaa kwenye
Msikiti wa Nunge mjini Dodoma Oktoba 28, 2016. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni