
Magari yakirekebisha uzito wa mizigo baada ya kupimwa katika Kituo cha Mizani cha Mikese Mkoani Morogoro

Magari yakiendelea kupimwa katika Kituo cha Mizani cha Kibaha mkoaGari likiondoka baada ya kupimwa katika mzani wa barabarani likiwa limezingatia ya uzito uliowekwa kisheria.

Upimaji ukiendelea Kibaha

Barabara ikiwa imebonyea kutokana na uharibifu unaotokana na magari
yaliyozidisha uzito zaidi ya viwango vilivyowekwa kisheria..
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni