MRISHO GAMBO AFUNGUA MKUTANO WA WAFAMASIA ARUSHA


Mkuu wa Mkoa,Mrisho Gambo akifungua mkutano wa mafamasia,uliofanyika katika ukumbi wa Naura,Jiji Arusha.

Rais wa chama cha wafamasia(PST) Michael  Kishiwa ,akielezea historia fupi ya chama chao kwa mgeni rasmi,ambae ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo.

Baadhi ya wafamasia waliokuwa wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa(hayupo pichani)alipokuwa akifungua mkutano wa chama cha wafamasia,Jiji Arusha.
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akiwa kwenye picha ya pamoja na wanachama wa chama cha wafamasia(PST),Naura Jijini Arusha.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni