| Aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Onesmo Nangole akiwa na Mbunge wa jimbo la Arusha mjini nje ya mahakama kuu leo jijini Arusha | 
| Wananchi na wanachama wa vyama vya CCM NA CHADEMA wakiwa wanafuatilia hukumu | 
| sehemu ya umati wa wananchi waliofika mahakamani hapo leo | 
| waandishi nao hawakuwepo nyuma mahakamani hapo kufuatilia kesi hiyo ya uchaguzi kwenye mahakama ya rufaa jijini arusha | 
| Katibu wa Itkadi siasa na Uenezi wa mkoa wa Arusha Shaban Mdoe na Katibu msaidizi wa ccm mkoa wa Arusha Athman Bilal wakitoka mahakamani hapo leo jijini Arusha | 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni