KESI YA UBUNGE LONGIDO;MAHAKAMA YAWATAKA WALETA RUFAA KUIRUDIA UPYA HUKU MWANASHERIA MKUU NA MSIMAMIZI WAKITAKIWA KUWEPO MAHAKAMANI



Aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Onesmo Nangole akiwa na Mbunge wa jimbo la Arusha mjini nje ya mahakama kuu leo jijini Arusha

Wananchi na wanachama wa vyama vya CCM NA CHADEMA wakiwa wanafuatilia hukumu

sehemu ya umati wa wananchi waliofika mahakamani hapo leo

waandishi nao hawakuwepo nyuma mahakamani hapo kufuatilia kesi hiyo ya uchaguzi kwenye mahakama ya rufaa jijini arusha

Katibu wa Itkadi siasa na Uenezi wa mkoa wa Arusha Shaban Mdoe na Katibu msaidizi wa ccm mkoa wa Arusha Athman Bilal wakitoka mahakamani hapo leo jijini Arusha





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni