Mfalme
 Mohammed  wa Morocco akibusu Masahaf kabla ya kumkabidhi Waziri Mkuu 
Kasim Majaliwa katika hafla fupi ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi 
wa msikiti kwenye eneo la BAKWATA Kinondoni jijini Dar es salaam Oktoba 
25, 2016.  Kulia ni Mufti Mkuu wa Tanzania, Abukary Zubeir. Jumla ya 
Masahaf 10000 zilikabidhiwa na Mfalme huyo.(Picha n Ofisi ya Waziri 
Mkuu) 
 Mfalme
   Mohammed wa wa Morocco,  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa , Rais Mstaafu 
Alhaj  Ali Hassan Mwinyi na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Bilal 
wakiwa katika hafla fupi ya uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa msiki 
uliofnywa na Mfalme Mohammed wa Morocco kwenye  eneo la BAKWATA, 
Kinondoni jijini Dar es salam Oktoba 25, 2016. (icha na Ofisi ya Waziri 
Mkuu) 
 Mfalme
 Mhammed  wa Morocco na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  wakishuhudia 
wakati Mufti Mkuu wa Tanzania, Abubakary Zubeir (kulia)  akitia saini 
Makubaliano ya ujenzi wa Msikiti kwenye eneo la BAKWATA, Kinondoni 
jijini Dar es salaam Oktoba 25, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 Mfalme
 Mhammed wa Morocco na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakishuhudia wakati 
Mufti Mkuu wa Tanzania, Abubakary Zubeir (kulia) akitia saini 
Makubaliano ya ujenzi wa Msikiti kwenye eneo la BAKWATA, Kinondoni 
jijini Dar es salaam Oktoba 25, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni