Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni
 ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura akizungumza wakati wa 
ufungzi wa Mkutano wa Connect 2 Connect unafanyika katika Hotel ya 
Ramada jijini Dar es Salaam. Mkutano huo wa Kimataifa unafanyika kwa 
mara ya tatu hapa nchini ambao unawashirikisha wadau mbalimbali wa 
masuala ya mawasiliano, viongozi wa serikalini na taasisi binafsi, 
mawaziri kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika, watoa huduma za 
mawasiliano na watengenezaji wa vifaa vya mawasiliano.
“Mkutano huu wa tatu kufanyika Tatanzania tuna bahati kwamba tumejenga mkongo, faida ya mkongo kila mtu anaijua, utakuta kuna punguzo la zaidi ya asilimia 90, na watu hawa wamenufaika hata nje ya nchi kama kabla ya mkongo bei ya kupiga simu ilikuwaje na sasa ikoje, bei ya intanet ilikuwaje na sasa ilikuwaje na leo bei ikoje. Rwanda, Burundi, Zambia, Malawi, Malawi, Uganda zamani ukitaka kupata mawasiliano ya nje lazima uende nje kutumia setelaiti lakini kwa sasa unapata kupitia mkongo wetu huna haja ya kwenda nje,”alisma Kazaura.
“Mkutano huu wa tatu kufanyika Tatanzania tuna bahati kwamba tumejenga mkongo, faida ya mkongo kila mtu anaijua, utakuta kuna punguzo la zaidi ya asilimia 90, na watu hawa wamenufaika hata nje ya nchi kama kabla ya mkongo bei ya kupiga simu ilikuwaje na sasa ikoje, bei ya intanet ilikuwaje na sasa ilikuwaje na leo bei ikoje. Rwanda, Burundi, Zambia, Malawi, Malawi, Uganda zamani ukitaka kupata mawasiliano ya nje lazima uende nje kutumia setelaiti lakini kwa sasa unapata kupitia mkongo wetu huna haja ya kwenda nje,”alisma Kazaura.
…………………………………………………………….
Picha zote na Philemon Solomon-Fullshangweblog
Makamu wa rais wa Masoko ya 
teknolojia Huawei akifafanua kuhusu teknolojia ya 5G wakati wa mkutano 
mkuu wa Conncect to Connect (C2C) uliofanyika katika hoteli ya kimataifa
 ya Ramada iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es salaam. Kampuni ya Huawei 
ni wadau wakubwa wa teknolojia hapa nchini ambapo pia walikabidhiwa 
zawadi na Wizara ya mawasiliano sayansi na teknolojia kutambua mchango 
wao katika sekta ya teknolojia na mawasiliano hapa nchini.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni