Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Waziri Mkuu wa Australia Mhe. Tonny 
Abbot alipowasili asubuhi ya tarehe  28 Julai 2015  katika makao  Makuu 
ya kiongozi  huyo  jijini Sydney.
Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiwa katika mazungumzo rasmi na 
Waziri Mkuu wa Australia Mhe. Tonny Abbot asubuhi ya tarehe  28 Julai 
2015 katika makao  Makuu ya kiongozi  huyo  jijini Sydney.
Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la lililoandaliwa kwa heshima 
yake huku akipigiwa mizinga 21 alipowasili asubuhi ya tarehe  28 Julai 
2015 katika makao  Makuu ya kiongozi  huyo  jijini Sydney.
Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete akiutambulisha ujumbe wake kwa Waziri Mkuu wa 
Australia Mhe. Tonny Abbot alipowasili asubuhi ya tarehe  28 Julai, 2015
 katika makao  Makuu ya kiongozi  huyo  jijini Sydney.
Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi katika kitabu cha wageni 
alipowasili kwenye jumba la serikali jijini Sydney tarehe 28 Julai 2015 
na kukutana na kufanya mazungumzo na  Gavana Mkuu wa Australia 
Mheshimiwa Peter Cosgrove aliyesimama nyuma yake pamoja na Mama Salma 
Kikwete na Mke wa Gavana huyo Mama Cosgrove.
Rais 
Jakaya Mrisho Kikwete akiongea wakati wa chakula cha mchana kwenye jumba
 la serikali jijini Sydney tarehe 28 Julai 2015 baada ya kukutana na 
kufanya mazungumzo na  Gavana Mkuu wa Australia Mheshimiwa Peter 
Cosgrove.
PICHA NA IKULU







Hakuna maoni:
Chapisha Maoni