Kikundi
 cha kwaya cha Nyota ya asubuhi, cha kanisa la Wasabato, Ukonga, kikitoa
 burudani wakati wa utoaji tuzo kwa Watanzania waliotoa mchango mkubwa 
katika kutetea haki na jamii nchini, Dar es Salaam jana. Mmoja wa 
waliopata tuzo hizo ni pamoja na Mbunge wa Kigoma Kusini, David 
Kafulila. Tuzo hizo zilitolewa na Taasisi ya Dream Success Enterprises 
ya jijini. (PICHA ZOTE JAJI MARK NA KHAMISI MUSSA) 
 Jaji mstaafu Mark Bomani (kulia) akimkabidhi Tuzo ya maono mapevu, Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila.
 Jaji mstaafu Mark Bomani akimvisha skafu yenye Neno Tanzania Mkurugenzi wa Under the Same Sun,Vicky Ntetema.
 Jaji 
mstaafu Mark Bomani akimkabidhi Tuzo ya  uwazi na ukweli  Mkurugenzi wa 
Under the Same Sun,Vicky Ntetema tuzo ya ubunifu, tuzo ambazo zimetolewa
 na taasisi ya Dream Success Enterprises
 Jaji mstaafu Mark Bomani Skafu Saed Kubenea  taasisi ya Dream Success Enterprises Dar es Salaam
 Jaji 
mstaafu Mark Bomani akimkabidhi tuzo  Mwandishi Saed Kubenea tuzo ya 
uwazi na ukweli , ambazo zimetolewa na taasisi ya Dream Success 
Enterprises Dar es Salaam
 Jaji 
Mstaafu Mark Bomani katika picha ya pamoja (wa tano kulia ) wakiwa na 
baadhi ya viongozi wa Taasisi ya  Dream Success Enterprises mmoja wao   
ni Joshua Lawrence (kushoto) na  kulia ni Profesa Aldin Mutembei  baada 
ya kukabidhiwa tuzo hizo   Dar es Salaam jana 
 Baadhi ya wananchi walio shiriki
 Mkurugenzi wa Under the Same Sun,Vicky Ntetema, akizungumza jambo baada ya kikabidhiwa tuzi hiyo
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni