Mkurugenzi
 wa Bushback Safaris Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la
 Arusha kwa tiketi ya CCM akiwaonyesha kadi ya CCM inayoonyesha imani ya
 mwanachamana kwa wanahabari pamoja
 na wadau mbalimbali jijini Arusha, pia alizungumzia kuhusu mchakato wa 
ndani ya chama kumpata mgombea wa Ubunge wa jimbo la Arusha kupitia CCM 
siku moja baada ya kumalizika kwa mchakato wa kuzunguka katika kata 25 
za kuomba kura kwa wananchama wa chama hicho,aliwataka wananchi 
kumchagua mwanachama watakaoonyeshwa na Mungu na siyo kwa kushawishiwa 
kwa pesa,pia alionyesha furaha yake kwa kuweza  kupandikiza mbegu bora 
ya Upendo,Amani na Mshikamano kwa wagombea wenzake pamoja na Wanaarusha 
kwa ujumla(Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog) 
Mkurugenzi
 wa Bushback Safaris Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la
 Arusha kwa tiketi ya CCM akizungumza na waandishi wa habari pamoja na 
wadau mbalimbali jijini Arusha ,ambapo aliwashukuru wagombea
 wenzake 12 wanaowania nafasi ya Ubunge katika jimbo la Arusha kwa 
kumaliza mchakato wa kuzunguka katika kata 25 jimbo la Arusha kwa 
Amani,Upendo na mshikamano na pia alionyesha furaha yake kwa kupandikiza
 mbegu bora ya Upendo,Amani na Mshikamano
Sehemu
 ya wadau wakifatilia hotuba ya Mkurugenzi wa Bushback Safaris Mustafa 
Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la Arusha kwa tiketi ya CCM 
Mkurugenzi
 wa Bushback Safaris Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la
 Arusha kwa tiketi ya CCM akisisitiza wananchi kwa ujumla kuwa na 
Upendo,Amani na Mshikamano na kusisitiza kuwa atamuunga mkono mgombea 
yeyote atakayepitishwa na chama cha mapinduzi,kulia nia Kassim Mamboleo 
 katibu wa kamati ya Ushindi
Mwenyekiti
 wa kamati ya Ushindi Godfrey Mhando akizungumza ambapo alisema kuwa 
kila mtu anahaki ya kumchagua kiongozi anayeona anafaa na siyo 
kurubuniwa kwa fedha
Kassim Mamboleo  katibu wa kamati ya ushindi 
akizungumza na wanahabari pamoja na wadau ambapo alitoa rai kwa 
Watanzania kuwa makini katika mchakato huu kuelekea uchaguzi mkuu
Mkurugenzi
 wa Bushback Safaris Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la
 Arusha kwa tiketi ya CCM akisoma imani inayopatikana katika kadi yake 
ya CCM ,moja ya imani ni pamoja na Upendo,Amani na Ushirikiano
Mchambuzi
 wa kisiasa na Mwanahabari mkongwe hapa Nchini Abrahamu Gwandu 
akizungumza katika mkutano huo alisisitiza wananchi kuwa na Umoja,Upendo
 na kuchagua kiongozi bora kuelekea uchaguzi mkuu ili kuepusha uvunjifu 
wa Amani






Hakuna maoni:
Chapisha Maoni