Mkurugenzi
 wa Bushback Safaris Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la
 Arusha kwa tiketi ya CCM akinadi sera zake mbele yawananchi na 
wanachama wa chama hicho katika kata ya Themi viwanja vya Trans Foma 
jijini Arusha katika mkutano wa wagombea 12 wa chama cha mapinduzi 
,kuomba kura katika kata 25 ambapo katika kura ya maoni atapatikana 
mmoja wa kupeperusha bendera ya CCM Arusha mjini(Habari Picha na Pamela 
Mollel wa jamiiblog)
Kijana
 aliyejitokeza kusikiliza sera za wagombea 12 wa CCM akisikiliza kwa 
makini wakati Mkurugenzi wa Bushback Safaris Mustafa Panju akimwaga sera
 zake kwa wananchi wa kata ya  Themi viwanja vya Trans Foma jijini 
Arusha
Wananchi  na wananchama waliojitokeza kuwasikiliza wagombea Ubunge jimbo la Arusha mjini kwa tiketi ya chama cha mapinduzi
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Monaban yajijini Arusha,Philemon Mollel
 ambaye pia ni Mgombea Ubunge kupitia chama cha mapinduzi CCM akimwaga 
sera zake kwa wananchi na wanachama wa chama hicho kuomba ridhaa ya 
kuwatumikia katika nafasi ya Ubunge
 Mtia nia nafasi ya Ubunge kupitia chama cha mapinduzi CCM Thomas
 Munisi  a.k.a KOMANDOO akiwa anajinadi mbele ya wananchi kuomba ridhaa 
ya kuwa Mbunge wa jimbo la Arusha mjini kwa tiketi ya chama cha 
mapinduzi CCM
Mkurugenzi
 wa Bushback Safaris Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la
 Arusha kwa tiketi ya CCM akinadi sera zake mbele yawananchi na 
wanachama wa chama hicho katika kata ya Lemara jijini Arusha ,mkutano 
huo uliudhuriwa na wagombea ubunge 12 wa chama cha mapinduzi CCM
Picha
 ya pamoja wagombea Ubunge kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi katika 
ofisi ya CCM Wilaya mara baada ya kumaliza kijinadi katika kata 25 
jijini hapa
Katibu wa wazazi Mkoa wa Arusha Mayasa Kimbau akizungumza katika mkutano wa kuwanadi wagombea Ubunge kupitia chama cha mapinduzi 



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni