Zahara Michuzi alipowasili katika ofisi za CCM mkoa wa Tabora ili kuchukua form ya kugombea viti maalum kwa vijana.
Zahara
 Michuzi ni binti wa Issa Michuzi blogger na mpiga picha hodari wa rais 
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye 
anamalizia muda wake sasa.
Binti 
wa Michuzi mara baada ya kuhitimu elimu yake ya shahada yake ya uchumi 
UDOM ameona ni vyema akawatumikua wananchi wa nyumbani kwake mkoani 
Tabora kwa kutangaza nia ya kugombea ubunge wa viti maalum kwa tiketi ya
 Chama Cha Mapinduzi.

 Zahara Michuzi (kushoto) na Mwasham Hashim (kulia) karani wa UVCCM Tabora akitoa maelekezo ya uchukuaji wa form hizo.

 Binti huyo wa Michuzi akikabidhiwa form yake leo katika ofisi za UVCCM mkoa-Tabora

 Zahara akiifurahia form yake ya Ubunge wa viti maalum Tabora.

 Zahara (kushoto) akilipia fedha halali ya form hiyo huku mama yake mlezi (katikati) akishuhudia kitendo hicho.

 Zahara
 sasa safari yake ya kuufukuzia ubunge wa viti maalu ndipo ikaanza huku 
akiipitia form yake kwa mara ya kwanza toka azaliwe

Mwasham (kushoto) akitoa baadhi ya ufafanuzi kwa baadhi ya vipengele vilivyomo katika form hiyo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni