
Katibu wa wazazi Mkoa wa Arusha Mayasa Kimbau
akizungumza katika mkutano wa kuwanadi wagombea Ubunge kupitia chama
cha mapinduzi mtaa wa kati jijini Arusha ambapo aliwataka wapambe
wawagombea watulize mung'ari zao na kuacha tabia ya kukebihana huku
akisisitiza wananchi kuchagua kiongozi bora
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni