
The fact that Dr. 
Wilbord Slaa, John Mnyika and Tundu Lissu did not show up on yesterday 
Lowassa-Ukawa press conference is very crucial… I mean there must be 
something going on behind the curtains, let’s just wait and see!
KUMEKUCHA: Siasa ni 
tamuu! Nasikia Dr Wilbroad Slaa amekataa katakata kukubaliana na maamuzi
 ya kumleta Lowassa Sijui ni kweli Au?!
Anasema bora akae bila 
Chama kuliko kukaa chama kimoja na Lowassa. Na inaonesha anaungwa Mkono 
na Lissu, Mnyika na wengine wengi. Utakuwa mchezo wa kupishana huyu 
anatoka huyo anaingia! Ngoja tusubirie tuone mwisho wake:
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni