![]()  | 
| Baadhi ya Wawezeshaji katika mafunzo yaWajasiliamali 150 yanayofanyika katika chuo cha Ufundi Veta mkoa wa Kilimanjaro. | 
![]()  | 
| Baadhi ya washiriki katika mafunzo hayo. | 
![]()  | 
| Badhi ya washiriki wa mafunzo hayo ya siku tano. | 
![]()  | 
| Mjumbe wa Bodi ya Taasisi ya fedha ya FSDT ,Erick Masinda akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo. | 
![]()  | 
| Baadhi ya wajasiliamali hao. | 
![]()  | 
| Kaimu Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Lembris Kipuyo akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo yenye lengo la kuwawezesha kurasimisha biashara zo ili wapate mkopo na kukuza Biashara. | 
![]()  | 
| Prof Maliyamkono akitoa neno la Shukrani. | 
![]()  | 
| Baadhi ya washiriki wa semina hiyo,wakiwa katika picha ya Pamoja na mgeni rasmi mkuu wa wilaya ya Rombo Lembris Kipuyo. | 
![]()  | 
| DC Kipuyo akizungumza na wanahabari mara baada ya kufungua mafunzo hayo. | 
![]()  | 
| DC Kipuyo akifanya mahojiano na mmoja wa wanahabari . | 
















Hakuna maoni:
Chapisha Maoni