MSHINDI WA TUZO YA NOBEL MWAKA 2016 KUJULIKANA LEO NCHINI NORWAY

Mshindi wa tuzo ya Nobel wa mwaka 2016 anatarajiwa kutangazwa baadaye hii leo katika Jiji la Oslo nchini Norway.

Wanaowania tuzo hiyo kubwa zaidi duniani wamechaguliwa kutoka kwenye orodha ya wawaniaji 376, huku 228 wakiwa ni watu binafsi na 148 ni taasisi.

Watumishi wa taasisi ya White Helmets “Helmeti Nyeupe” wanaojihusisha na uokoaji watu kwenye vifusi vya majengo yanayoshambuliwa na mabomu ni miongoni wa taasisi zinazopigiwa chapuo kutwa tuzo.
   Watumishi wa taasisi ya Helmet Nyeupe wakiwaokoa watoto Syria kutoka kwenye vifusi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni