Afisa
 Maendeleo ya jamii Mkoa wa Mbeya Ndugu Stellah Kategile akiwasilisha 
maada kwa wadau wa Sekta ya Afya Mkoani Mbeya katika kikao cha kujadili 
juu ya kuelekea katika siku ya maadhimisho ya Ukimwi Duniani Tarehe 1 
Desemba mwaka huu. 
 | 
Mratibu
 wa kudhibiti Ukimwi Mkoani Mbeya (RACC-Regional AIDS Control Coodinator
 ) Dkt Francis Philly akizungumza katika kikao hicho ambacho 
kimehudhuriwa na wadau mbalimbali wa masuala ya afya mkoani  katika 
ukumbi wa Cofee Garden jijini Mbeya 
 | 
Mrakibu
 wa Polisi Mkuu  dawati la jinsi na watoto Mkoa wa mbeya Ndugu Debora 
Mrema akielezea masuala mbaliimbali  yanayolikumba Dawati hilo katika 
kupambana na ukatili wa kijinsi Mkoani humo huku akisisitiza juu ya 
wadau kujitokeza na kutoa michango yao ya kifedha sanjali na rasilimali 
nyingine ili kuweza kutoa elimu kwa jamii katika maeneo mbalimbali 
mkoani humo hususani maeneo ya vijijini. 
 | 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni