RAIS WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMED SHEIN ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA ZA KISASA FUMBA
posted on 
Rais wa 
Zanzinbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akisalimiana na Mwenyekiti wa Kampuni ya Azam Group Bw.Said Salim 
Bakhresa alipowasili Fumba Mkoa wa Mjini Magharibi jana katika ziara ya 
kutembelea maeneo ya ujenzi wa Mji mpya wa Nyumba za kisasa zinazojengwa
 na Kampuni ya Azam Group kwa kushirikiana Serikali ya Mapinduzi 
Zanzibar
 Rais wa 
Zanzinbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akisalimiana na viongozi mbali mbali wakati alipowasili Fumba Mkoa wa 
Mjini Magharibi jana katika ziara ya kutembelea maeneo ya ujenzi wa Mji 
mpya wa Nyumba za kisasa zinazojengwa na Kampuni ya Azam Group kwa 
kushirikiana na Serikali nya Mapinduzi ya Zanzibar
Rais wa 
Zanzinbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
akisalimiana na viongozi mbali mbali wa Kampuni ya Azam inayoshuhulika 
na Ujenzi wa Mji mpya wa Nyumba za kisasa zinazojengwa na Kampuni ya 
Azam Group kwa ushirikiano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika 
Kijiji cha Fumba Mkoa wa Mjini Magharibi jana katika ziara maalum ya 
kutembelea maeneo hayo
Rais wa 
Zanzinbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(kulia) akipata maelezo kwa ufupi kutoka kwa  Mwenyekiti wa Kampuni ya 
Azam Bw.Said Salim Bakhresa alipowasili Fumba Mkoa wa Mjini Magharibi 
jana katika ziara ya kutembelea maeneo ya ujenzi wa Mji mpya wa Nyumba 
za kisasa zinazojengwa na Kampuni ya Azam Group kwa kushirikiana 
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,(kushoto) Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitega
 Uchumi Zanzibar Nd,Salum Khamis Nassor
 Rais wa 
Zanzinbar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein 
(katikati) akipata maelezo kwa ufupi kutoka kwa  Mwenyekiti wa Kampuni 
ya Azam Group Bw.Said Salim Bakhresa alipowasili katika eneo 
linalotarajiwa kujwga kiwanda cha utengezaji wa Lami katika Kijiji cha 
Fumba Mkoa wa Mjini Magharibi jana katika ziara ya kutembelea maeneo ya 
ujenzi wa Mji mpya wa Nyumba za kisasa zinazojengwa na Kampuni ya Azam 
kwa kushirikiana Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni