Wachezaji
wa timu ya soka ya Panone fc wakipasha misuli moto kabla ya kuanza kwa
mchezo wa ligi ya shirikisho inayodhaminiwana Azam.
 |
| Wachezaji
wa timu ya Polisi Dar wakipasha misuli moto kabla ya kuanza kwamchezo
wa ligi ya shirikisho hidi ya Panone fc mchezo uliopigwa katika uwanja
wa Chuo cha Ushirika. |
 |
| Kocha wa timu ya soka ya Panone fc,Atuga Manyundo akizungumza na Azam TV iliyokuwa ikirusha mchezo huo moja kwa moja. |
 |
| Wapiga picha wa Azam Tv wakiweka sawa mitambo yao kwa ajili ya kurusha live mchezo huo. |
 |
| Vikosi vya timu za Polisi Dar na Panone fc vikiwa tayari kuingia uwanjani. |
 |
| Vikosi vikiingia uwanjani. |
 |
| Panone fc |
 |
| Polisi Dar. |
 |
| Wachezaji wa timu hizo wakisalimiana. |
 |
| Benchi la Polisi Dar. |
 |
| Benchi la Panone fc. |
 |
| Kikosi cha Panone fc. |
 |
| Waamuzi wa mchezo uo. |
 |
| Camera
maalum aina ya Drone akipiga picha za juu katika uwanja wa Ushirika
wakati wa mchezo wa ligi ya Shirikisho kati ya Panone fc na Polisi Dar. |
 |
| Azam Tv walikuwa live kurusha mchezo huo. |
 |
| heka heka katika mchezo huo. |
 |
| Panone fc wakishangilia baada ya kupata bao la kwanza. |
 |
| Heka heka. |
 |
| Heka heka langoni mwa timu ya Polisi Dar. |
 |
| Wachezaji wa Polisi Dar wakishangilia mara baada ya kusawazisha bao. |
 |
| Panone fc wakifanya mabadiliko ,mchezaji Pompy akinngia. |
 |
| Baadhi ya Mashabiki waliojitokeza katika mchezo huo. |
 |
| Wapiga picha wa Azam Tv wakichukua matukio mbalimbali.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. |
|
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni