PANONE FC YASONGA MBELE LIGI YA SHIRIKISHO YA AZAM,YAIFUNGA POLISI DAR ES SALAAM BAO 2 KWA 1.

Wachezaji wa timu ya soka ya Panone fc wakipasha misuli moto kabla ya kuanza kwa mchezo wa ligi ya shirikisho inayodhaminiwana Azam.
Wachezaji wa timu ya Polisi Dar wakipasha misuli moto kabla ya kuanza kwamchezo wa ligi ya shirikisho hidi ya Panone fc mchezo uliopigwa katika uwanja wa Chuo cha Ushirika.
Kocha wa timu ya soka ya Panone fc,Atuga Manyundo akizungumza na Azam TV iliyokuwa ikirusha mchezo huo moja kwa moja.
 
Wapiga picha wa Azam Tv wakiweka sawa mitambo yao kwa ajili ya kurusha live mchezo huo.
Vikosi vya timu za Polisi Dar na Panone fc vikiwa tayari kuingia uwanjani.
Vikosi vikiingia uwanjani.
Panone fc
Polisi Dar.
Wachezaji wa timu hizo wakisalimiana.
Benchi la Polisi Dar.
Benchi la Panone fc.
Kikosi cha Panone fc.
Waamuzi wa mchezo uo.
Camera maalum aina ya Drone akipiga picha za juu katika uwanja wa Ushirika wakati wa mchezo wa ligi ya Shirikisho kati ya Panone fc na Polisi Dar.
Azam Tv walikuwa live kurusha mchezo huo.
heka heka katika mchezo huo.
Panone fc wakishangilia baada ya kupata bao la kwanza.
Heka heka.
Heka heka langoni mwa timu ya Polisi Dar.
Wachezaji wa Polisi Dar wakishangilia mara baada ya kusawazisha bao.
Panone fc wakifanya mabadiliko ,mchezaji Pompy akinngia.
Baadhi ya Mashabiki waliojitokeza katika mchezo huo.
Wapiga picha wa Azam Tv wakichukua matukio mbalimbali.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni