Wachezaji
wa timu ya soka ya Panone fc wakipasha misuli moto kabla ya kuanza kwa
mchezo wa ligi ya shirikisho inayodhaminiwana Azam.
 |
Wachezaji
wa timu ya Polisi Dar wakipasha misuli moto kabla ya kuanza kwamchezo
wa ligi ya shirikisho hidi ya Panone fc mchezo uliopigwa katika uwanja
wa Chuo cha Ushirika. |
 |
Kocha wa timu ya soka ya Panone fc,Atuga Manyundo akizungumza na Azam TV iliyokuwa ikirusha mchezo huo moja kwa moja. |
 |
Wapiga picha wa Azam Tv wakiweka sawa mitambo yao kwa ajili ya kurusha live mchezo huo. |
 |
Vikosi vya timu za Polisi Dar na Panone fc vikiwa tayari kuingia uwanjani. |
 |
Vikosi vikiingia uwanjani. |
 |
Panone fc |
 |
Polisi Dar. |
 |
Wachezaji wa timu hizo wakisalimiana. |
 |
Benchi la Polisi Dar. |
 |
Benchi la Panone fc. |
 |
Kikosi cha Panone fc. |
 |
Waamuzi wa mchezo uo. |
 |
Camera
maalum aina ya Drone akipiga picha za juu katika uwanja wa Ushirika
wakati wa mchezo wa ligi ya Shirikisho kati ya Panone fc na Polisi Dar. |
 |
Azam Tv walikuwa live kurusha mchezo huo. |
 |
heka heka katika mchezo huo. |
 |
Panone fc wakishangilia baada ya kupata bao la kwanza. |
 |
Heka heka. |
 |
Heka heka langoni mwa timu ya Polisi Dar. |
 |
Wachezaji wa Polisi Dar wakishangilia mara baada ya kusawazisha bao. |
 |
Panone fc wakifanya mabadiliko ,mchezaji Pompy akinngia. |
 |
Baadhi ya Mashabiki waliojitokeza katika mchezo huo. |
 |
Wapiga picha wa Azam Tv wakichukua matukio mbalimbali.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. |
|
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni