Hafla
hii ilifanyika tarehe 05/11/2015 kwenye ukumbi wa mafunzo ya amali.
Wengine waliosimama ni Katibu Mkuu na Naibu katibu Mkuu Wizara ya Ealimu
na mafunzo Amali
Mwanzoni mwa mwezi Oktoba 2015, Dk Khalfan aliteuliwa tena na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein kuendelea kuwa mwenyekiti wake kwa miaka mitatu ijayo
Mwanzoni mwa mwezi Oktoba 2015, Dk Khalfan aliteuliwa tena na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein kuendelea kuwa mwenyekiti wake kwa miaka mitatu ijayo
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni