Rais 
aliyemaliza muda wake wa uongozi wa miaka kumi, Dkt. Jakaya Mrisho 
Kikwete akiwapungia maelfu ya wananchi waliofurika uwanja wa Uhuru 
jijini Dar es Salaam kushuhudia kuapishwa kwa Rais wa awamu ya tano, 
Dkt. John Pombe Magufuli
 Rais 
aliyemaliza muda wake wa uongozi wa miaka kumi, Dkt. Jakaya Mrisho 
Kikwete akijadiliana jambo na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Nchini, Jenerali
 Davies Mwamunyange uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.
 Rais wa 
awamu ya nne aliyemaliza muda wake wa uongozi wa miaka kumi ya kuiongoza
 Tanzania kwa mafanikio, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika jukwaa 
maaalum kupokea salaam ya heshima ya kijeshi kabla ya kukabidhi madaraka
 Rais wa awamu ya tano, Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akila kiapo.
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Samia Suluhu Hassan akila kiapo. Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Shein ( wa kwanza kulia ), Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tnzania, Mh Anne Makinda, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ( wa nne kutoka kulia ) na Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh Mohamed Chande wakiwa jukwaa maalum kabla ya kuapishwa kwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Dkt. John Pombe Magufuli akiongozana na Makamu wake, Mh Samia Suluhu Hassan wakiwa jukwaa maalum
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake wa uongozi wa miaka kumi ya 
kuiongoza Tanzania kwa mafanikio, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa 
katika jukwaa maaalum kupokea salaam ya heshima ya kijeshi kabla ya 
kukabidhi madaraka Rais wa awamu ya tano, Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake wa uongozi wa miaka kumi ya 
kuiongoza Tanzania kwa mafanikio, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa 
katika jukwaa maaalum kupokea salaam ya heshima ya kijeshi kabla ya 
kukabidhi madaraka Rais wa awamu ya tano, Dkt. John Pombe Magufuli.
Sehemu ya maelfu ya wananchi waliofika kushuhudia kuwapishwa kwa Dkt. Magufuli kuwa Rais wa awamu ya tano wa Tanaznia
Rais wa 
awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akikagua gwaride
 maalum kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya tano, Dkt. John
 Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akikagua 
gwaride maalum kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya tano, 
Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akikagua 
gwaride maalum kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya tano, 
Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akikagua 
gwaride maalum kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya tano, 
Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akikagua 
gwaride maalum kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya tano, 
Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akikagua 
gwaride maalum kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya tano, 
Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akikagua 
gwaride maalum kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya tano, 
Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake wa uongozi wa miaka kumi ya 
kuiongoza Tanzania kwa mafanikio, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa 
katika jukwaa maaalum kupokea salaam ya heshima ya kijeshi kabla ya 
kukabidhi madaraka Rais wa awamu ya tano, Dkt. John Pombe Magufuli.
 Marais kutoka nchi mbalimbali wakiwa jukwaa kuu kushuhudia kuapaishwa kwa Rais wa awamu ya tano, Dkt John Pombe Magufuli.
 Tuchukue
 picha za kumbukumbu! Viongozi mbalimbali wakiwa jukwaa kuu wakifuatilia
 kwa karibu matukio yote wakati wa kuapishwa kwa Rais wa awamu ya tano 
wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.
Viongozi
 mbalimbali wakiwa jukwaa kuu wakifuatilia kwa karibu matukio yote 
wakati wa kuapishwa kwa Rais wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa
 Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.
Viongozi
 mbalimbali wakiwa jukwaa kuu wakifuatilia kwa karibu matukio yote 
wakati wa kuapishwa kwa Rais wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa
 Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.
                                                                                Bendera ya Rais ikipandishwa
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akiteremka 
kutoka jukwaa maalum alipokuwa akipokea heshima za kijeshi.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akisalimiana
 na Makamu wake Dk. Gharib Bilal. Wote wawili wamestaafu.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete( wa pili 
kutoka kulia ) akiwa na Makamu wake mstaafu, Dk. Gharib Bilal ( wa 
kwanza kulia ) wakiwa jukwaa maalum na Rais wa awamu ya tano, Dkt. John 
Pombe Magufuli na Makamu wake Mh. Samia Suluh Hassan
                                                                                        Viongozi wa dini
Rais
 wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe 
Magufuli akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh Mohamed Chande 
Othman.
Rais
 wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe 
Magufuli akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh Mohamed Chande 
Othman.
Rais
 wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe 
Magufuli akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh Mohamed Chande 
Othman.
Rais
 wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe 
Magufuli akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh Mohamed Chande 
Othman.
Rais
 wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe 
Magufuli akiweka saini mara baada ya kula kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa 
Tanzania, Mh Mohamed Chande Othman.
Rais
 wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe 
Magufuli akiweka saini mara baada ya kula kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa 
Tanzania, Mh Mohamed Chande Othman.
 Jaji 
Mkuu wa Tanzania, Mh Mohamed Chande Othman naye akiweka saini mara baada
 ya kumuapisha Rais wa awamu ya tano, Dkt. John Pombe Magufuli
Rais wa 
awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe 
Magufuli akionyesha silaha za kijadi alizokabidhiwa mara baada ya 
kuapishwa kwenye uwanja wa Uhuru leo.
Rais wa 
Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akikumbatiana
 kwa furaha na Rais aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Samia Suluhu Hassan akiwena saini mara bada ya kula kiapo.
 Makamu wa Rais wa Tanzania, Mh Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu wa Rais mstaafu, Dk. Gharib Bilal
 Spika wa Bunge la Tanzania, Mh Anne Makinda akimpongeza Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu Hassan.

Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Samia Suluhu Hassan akila kiapo. Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Shein ( wa kwanza kulia ), Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tnzania, Mh Anne Makinda, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue ( wa nne kutoka kulia ) na Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh Mohamed Chande wakiwa jukwaa maalum kabla ya kuapishwa kwa Rais wa awamu ya tano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Dkt. John Pombe Magufuli akiongozana na Makamu wake, Mh Samia Suluhu Hassan wakiwa jukwaa maalum
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake wa uongozi wa miaka kumi ya 
kuiongoza Tanzania kwa mafanikio, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa 
katika jukwaa maaalum kupokea salaam ya heshima ya kijeshi kabla ya 
kukabidhi madaraka Rais wa awamu ya tano, Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake wa uongozi wa miaka kumi ya 
kuiongoza Tanzania kwa mafanikio, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa 
katika jukwaa maaalum kupokea salaam ya heshima ya kijeshi kabla ya 
kukabidhi madaraka Rais wa awamu ya tano, Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akikagua 
gwaride maalum kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya tano, 
Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akikagua 
gwaride maalum kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya tano, 
Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akikagua 
gwaride maalum kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya tano, 
Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akikagua 
gwaride maalum kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya tano, 
Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akikagua 
gwaride maalum kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya tano, 
Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akikagua 
gwaride maalum kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya tano, 
Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake wa uongozi wa miaka kumi ya 
kuiongoza Tanzania kwa mafanikio, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa 
katika jukwaa maaalum kupokea salaam ya heshima ya kijeshi kabla ya 
kukabidhi madaraka Rais wa awamu ya tano, Dkt. John Pombe Magufuli.
Viongozi
 mbalimbali wakiwa jukwaa kuu wakifuatilia kwa karibu matukio yote 
wakati wa kuapishwa kwa Rais wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa
 Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.
Viongozi
 mbalimbali wakiwa jukwaa kuu wakifuatilia kwa karibu matukio yote 
wakati wa kuapishwa kwa Rais wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa
 Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akiteremka 
kutoka jukwaa maalum alipokuwa akipokea heshima za kijeshi.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete akisalimiana
 na Makamu wake Dk. Gharib Bilal. Wote wawili wamestaafu.
Rais
 wa awamu ya nne aliyemaliza muda wake, Dkt. Jakaya Kikwete( wa pili 
kutoka kulia ) akiwa na Makamu wake mstaafu, Dk. Gharib Bilal ( wa 
kwanza kulia ) wakiwa jukwaa maalum na Rais wa awamu ya tano, Dkt. John 
Pombe Magufuli na Makamu wake Mh. Samia Suluh Hassan
Rais
 wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe 
Magufuli akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh Mohamed Chande 
Othman.
Rais wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akila kiapo.
Rais
 wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe 
Magufuli akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh Mohamed Chande 
Othman.
Rais
 wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe 
Magufuli akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh Mohamed Chande 
Othman.
Rais
 wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe 
Magufuli akila kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh Mohamed Chande 
Othman.
Rais
 wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe 
Magufuli akiweka saini mara baada ya kula kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa 
Tanzania, Mh Mohamed Chande Othman.
Rais
 wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe 
Magufuli akiweka saini mara baada ya kula kiapo mbele ya Jaji Mkuu wa 
Tanzania, Mh Mohamed Chande Othman.
Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Samia Suluhu Hassan akiwena saini mara bada ya kula kiapo.























































































































Hakuna maoni:
Chapisha Maoni