Eda
 Malick kutoka Tanzania Women and Children Welfare center akizungumza na
 waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili wa
 kijinsia
 Afande Christina Onyango, Afisa wa Polisi, mkoa wa kipolisi Ilala 
akielezea namna ambavyo dawati la jinsia wamejipanga kufikisha ujumbe wa
 siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia.
Wadau kutoka katika mashirika mbalimbali wanaoshiriki kikamilifu katika utekelezaji wa maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wakiwa katika mkutano na waandishi wa habari
Wadau kutoka katika mashirika mbalimbali wanaoshiriki kikamilifu katika utekelezaji wa maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wakiwa katika mkutano na waandishi wa habari



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni