Mratibu
 Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa 
Shirika la Mpango wa Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akipanda mti 
kama ishara ya uhifadhi mazingira baada ya kuzindua mradi wa kupunguza 
na kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia nishati jadidifu 
ya jua (Mitigating Climate change in vulnerable communities of Dodoma 
region, Machali village, Chamwino District), katika Kijiji cha Machali 
A, wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma katika utekelezaji wa moja kati ya 
malengo ya maendeleo endelevu (SDGs).
Mratibu
 Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa 
Shirika la Mpango wa Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akimwagilia maji
 kama ishara ya uhifadhi mazingira baada ya kuzindua mradi wa kupunguza 
na kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia nishati jadidifu 
ya jua (Mitigating Climate change in vulnerable communities of Dodoma 
region, Machali village, Chamwino District), katika Kijiji cha Machali 
A, wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma  katika utekelezaji wa moja kati ya 
malengo ya maendeleo endelevu (SDGs).
Mratibu
 Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa 
Shirika la Mpango wa Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez pamoja na 
Mkurugenzi Mkazi wa UNDP, Awa Dabo (kulia) wakieleka kukagua mradi wa 
ufugaji wa shirika la Tanzania Environmental Friendly Association (TEFA)
 huku wakiburudishwa na ngoma ya wenyeji wa kabila wa Kigogo, katika 
Kijiji cha Machali A, wilaya ya Chamwino mkoa wa Dodoma katika 
utekelezaji wa moja kati ya malengo ya maendeleo endelevu (SDGs).
Mratibu
 Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la 
Mpango wa Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akimtwisha ndoo ya maji 
mkazi wa Kijiji cha Machali A wilayani Chamwino mkoa wa Dodoma, Zena 
Mwalko baada ya kuzindua 
mradi wa kupunguza na kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia
 nishati jadidifu ya jua (Mitigating Climate change in vulnerable 
communities of Dodoma region, Machali village, Chamwino District), 
katika Kijiji cha Machali A, wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi Mkazi wa UNDP, Awa Dabo.
Mratibu
 Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa 
Shirika la Mpango wa Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akiwa kwenye 
picha ya pamoja na wanakikundi cha ngoma cha Kijiji cha Machali A, 
wilayani Chamwino mkoa wa Dodoma wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa
 kupunguza na kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia nishati
 jadidifu ya jua (Mitigating Climate change in vulnerable communities of
 Dodoma region, Machali village, Chamwino District), katika Kijiji cha 
Machali A, wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma. Kushoto ni 
Mkurugenzi Mkazi wa UNDP, Awa Dabo.
Mkurugenzi Mkazi wa UNDP, Awa Dabo.
Mratibu
 Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi  wa 
Shirika la Mpango wa Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akizungumza na 
wananchi wa Kijiji cha Machali A, wilayani Chamwino mkoa wa Dodoma 
wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi wa kupunguza na kukabiliana na 
mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia nishati jadidifu ya jua (Mitigating 
Climate change in vulnerable communities of Dodoma region, Machali 
village, Chamwino District), kijijini humo. Kutoka kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkazi wa UNDP, Awa Dabo na Mwakilishi Msaidizi wa Shirika la UNFPA, Dk. Hashina Begum.
Mkurugenzi Mkazi wa UNDP, Awa Dabo akiwa amebeba ndoo ya maji baada ya uzinduzi wa mradi
 wa kupunguza na kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia 
nishati jadidifu ya jua (Mitigating Climate change in vulnerable 
communities of Dodoma region, Machali village, Chamwino District), 
katika kijiji cha Machali A wilayani Chamwino mkoa wa Dodoma 
huku Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Umoja wa Mataifa na 
Mwakilishi  wa Shirika la Mpango wa Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez 
pamoja na wanakijiji wakishuhudia tukio hilo.
Mkurugenzi Mkazi wa UNDP, Awa Dabo akipanda mti kama
 ishara ya uhifadhi mazingira baada ya kuzindua mradi wa kupunguza na 
kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia nishati jadidifu ya 
jua (Mitigating Climate change in vulnerable communities of Dodoma 
region, Machali village, Chamwino District), katika Kijiji cha Machali 
A, wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.
Mwakilishi Msaidizi wa Shirika la UNFPA, Dk. Hashina Begum akimwagilia maji mti kama ishara ya kutunza mazingira baada ya uzinduzi wa wa
 kupunguza na kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia nishati
 jadidifu ya jua (Mitigating Climate change in vulnerable communities of
 Dodoma region, Machali village, Chamwino District), katika Kijiji cha 
Machali A, wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.
Mratibu wa Mradi wa
 kupunguza na kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia nishati
 jadidifu ya jua (Mitigating Climate change in vulnerable communities of
 Dodoma region, Machali village, Chamwino District) kutoka Shirika la 
Tanzania Environmental Friendly Association (TEFA), Yohana Kadiva 
akimwagilia maji mti kama ishara ya kutunza mazingira baada ya uzinduzi 
wa mradi huo unaofadhiliwa na Umoja wa Mataifa kupitia Shirika lake la 
Mpango wa Maendeleo (UNDP).
Wanakikundi
 cha ngoma ya asili katika kijiji cha Machali A wilayani Chamwino mkoa 
wa Dodoma wakiburudisha wakati wa hafla ya uzinduzi wa mradi huo.
Mratibu
 Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa 
Shirika la Mpango wa Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akizindua mradi 
wa kupunguza
 na kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi kwa kutumia nishati jadidifu 
ya jua (Mitigating Climate change in vulnerable communities of Dodoma 
region, Machali village, Chamwino District), kijijini humo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni