JESHI LA POLISI NCHINI UFARANSA LAWASHIKILIA WATU 23

Watu 23 wamekamatwa na makumi ya silaha kukutwa katika misako kadhaa dhidi ya wapiganaji wa kundi la Dola ya Kiislama nchini Ufaransa.

Msako huo unafuatia mashambulizi ya mfululizo kwenye baa, hoteli, ukumbi wa tamasha pamoja na uwanja wa mpira Jijini Paris siku ya Ijumaa na kuuwa watu 129.

Operesheni hiyo ya msako wa jeshi la polisi pia inafanyika Jijini Brussels Ubelgiji na kunataarifa kuwa mtuhumiwa mmoja amekamatwa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni