TAMASHA LA FIMA NCHINI NIGER LAHAIRISHWA KWA HOFU YA UGAIDI

Moja ya tamasha kubwa la mitindo ya mavazi Afrika, tamasha la Fima nchini Niger limesitishwa kufanyika kufuatia hofu ya usalama, waandaaji wa tamasha hilo wameeleza.

Uamuzi huo unafuatia mashambulizi ya hivi karibuni ya Jijini Paris na nchini Mali ambapo watu 22 waliuwawa katika hoteli ya kifahari wiki iliyopita.

Tamasha la Fima lilitarajiwa kuhudhuriwa na wabunifu 1,000, mamodo pamoja na watu maarufu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni