Mwenyekiti
 wa Jumuiko la Maliasili nchini (TNRF) ,Dr.Suma Kaare akizungumza katika
 mkutano wa 7 wa jumuiko hilo uliofanyika jijini Arusha na kuhudhuriwa 
na mashirika binafsi pamoja na wawakilishi kutoka wizara ya 
maliasili.Picha na Gadiola Emmanuel 
 
 Mkurugenzi wa Shirika la Haki kazi Catalyst Alais Moridant akifafanua 
jambo  katika mkutano wa 7 wa jumuiko hilo uliofanyika jijini Arusha na 
kuhudhuriwa na mashirika binafsi pamoja na wawakilishi kutoka
wizara ya maliasili.Picha na Gadiola Emmanuel
Mkurugenzi
 wa Shirika la AWF ,John Salehe akifafanua jambo  katika mkutano wa 7 wa
 jumuiko hilo uliofanyika jijini Arusha na kuhudhuriwa na mashirika 
binafsi pamoja na wawakilishi kutoka wizara ya maliasili.Picha na 
Gadiola Emmanuel 
Washiriki
 wa  mkutano wa 7 wa jumuiko la maliasili  uliofanyika jijini Arusha na 
kuhudhuriwa na mashirika binafsi pamoja na wawakilishi kutoka wizara ya 
maliasili.Picha na Gadiola Emmanuel 
Viongozi
 mbalimbali wa jumuiko la maliasili wakiwa katika mkutano wa 7 wa 
jumuiko hilo uliofanyika jijini Arusha na kuhudhuriwa na mashirika 
binafsi pamoja na wawakilishi kutoka wizara ya maliasili.Picha na 
Gadiola Emmanuel 
Washiriki
 wa  mkutano wa 7 wa jumuiko la maliasili  uliofanyika jijini Arusha 
wakiwa katika picha ya pamoja, ,mkutano huo ulihudhuriwa na mashirika 
binafsi pamoja na wawakilishi kutoka wizara ya maliasili.Picha na 
Gadiola Emmanuel wizara ya maliasili.Picha na Gadiola Emmanuel






Hakuna maoni:
Chapisha Maoni