Waziri
 Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akigonga kengelle kuashiria uzinduzi wa 
ununuzi wa hisa za Benki ya Walimu- MCB kwenye soko la hisa la Dar es 
salaam. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es salaam Novemba 27, 2015. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua uuzaji wa
 hisa za Benki ya Walimu MCB kwenye soko la hisa la Dar es salaam, 
uliofanyika jijini Dar es salaam Novemba 27, 2015. (Picha na Ofisi ya 
Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akiteta na baadhi ya Viongozi wa Benki 
ya Walimu- MCB baada ya kuzindua uuzaji wa hisa za Benki hiyo katika 
soko la hisa la Dar es salaam. Uzinduzi huo uliyofanyika jijini Dar es 
salaam Novemba 27, 2015 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
 Mkuu,Majaliwa Kassim Majlaiwa akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya 
Fedha Dkt. Servacius Likwelile baada ya kuzindua mpango wa Benki ya 
Walimu MCB – MCB kuanza kuuza hisa zake kwenye soko la hisa la Dar es 
salaam Novemba 27, 2015. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dares 
salaam.3065 (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni