Balozi
 Tuvako Manongi akizungumza wakati wa Majadiliano ya Baraza Kuu la Umoja
 wa Mataifa kuhusu  dhana ya kuwalinda raia (R2P) majadiliano 
yaliyojielekeza katika kutathimini mafanikio na changamoto za utekelezi 
wa dhana hiyo ikiwa ni miaka kumi tangu kuasisiwa  kwake.
Katibu
 Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon,  akizungumza wakati wa  Mkutano 
wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu dhana ya wajibu wa kuwalinda 
raia, ambapo alisema licha ya kuasisiwa kwa dhana hiyo dunia bado 
imeendelea kushuhudia  maisha ya watu wasiokuwa na hatia yakiendelea 
kupotea  kwa sababu tu Jumuiya ya Kimataifa inashindwa kutumiza wajibu 
wake kwa wakati.
 Wakimbizi  katika kambi moja nchini Tanzania,  ambao jana  jumanne 
akizungumza katika Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa,  
Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika UN Balozi Tuvako Manongi amesema
 kutoka na wimbi kubwa linaloendelea la wakimbizi  kukimbilia mataifa 
mengine kutafuta usalama wao. Jumuiya ya kimataifa haina budi 
kushirikiana na bila  kubagua katika  kuwalinda na  utoaji wa huduma na 
misaada ya kibinadamu kwa wakimbizi



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni