Mgombea
 Urais wa CCM Dkt Magufuli,akiwahutubia Wananchi wa Tabora jioni ya leo 
kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa  Ali 
Hassan Mwinyi.Dkt Magufuli alisema kuwa Serikali
 yake kwa sehemu kubwa itakuwa upande wa wananchi wanyonge ili hatimaye 
wawe na maisha yenye neema na kwenye hilo ana uhakika atafanya kazi 
nzuri maana kwake yeye ni kazi tu na hakuomba kuwa Rais ili awe 
mwanasiasa bali anaomba nafasi hiyo kwa kujua anajua namna ambavyo 
amejipanga kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania wote. 
 Sehemu
 ya umati wa watu waliokuwa katika uwanja wa Ali Hassan Mwinyi jioni ya 
leo walipokuwa wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli.
  Katibu
 Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa tabora mjini 
na kuwaambia kuwa Dk. Magufuli ni kiongozi sahihi anayehitajika Tanzania
 kwa sasa na kuwataka wananchi kumpigia kura zote ifikapo Oktoba 25 
mwaka huu.

  Mgombea
 wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi
 Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji wa Tabora waliofurika 
kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia anataka kujenga 
Tanzania mpya yenye kuleta maendeleo kwa wananchi wote.
 Mmoja
 wa Makada walioko kwenye timu ya uhamasishaji wa kampeni za 
CCM,Mh.Samweli Sitta akiwahutubia wananchi wa Tabora kwenye mkutano wa 
kampeni za Urais ndani ya uwanja wa Ali Hassan Mwinyi jioni ya leo.
 Mgombea
 Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,kupitia chama cha Mapinduzi 
(CCM),Dkt John Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa mji wa Tabora 
waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa Ali Hassa Mwinyi mapema leo 
jioni,alipokuwa akiwasili kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni.
  Mgombea
 wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa 
wananchi wa mji wa Tabora waliojazana kusikiliza Sera na Mipango ya 
Chama Cha Mapinduzi itakayotumika kuongoza kwa miaka 10 ijayo. 
 Wananchi wakishangilia .
 
 Sehemu ya umati wa wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John
 Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa 
hadhara wa kampeni ndani ya uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora. 
 Baadhi
 ya Wakazi wa mji wa Simiyu wakisubiri kumsikiliza mgombea Urais wa 
CCM,Dkt Magufuli kuwahutubia akitokea wilayani Nzega mapema leo mchana
 Wafuasi
 wa chama cha CCM sambamba na wananchi wa Uyui wakimsikiliza Mgombea 
Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia kwenye 
mkutano wa kampeni mapema leo mchana.
 Wafuasi
 wa chama cha CCM wakiwa na Mabango yao ndani ya uwanja wa Ali Hassan 
Mwinyi,wakimpokea Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli
 Sehemu
 ya umati wa wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe 
Magufuli alipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara 
wa kampeni ndani ya uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora
 Mwenyekiti
 wa CCM Mkoa wa Tabora Ndugu Hassani Wakasubi akitoa ufafanuzi mfupi 
kwenye mkutano wa kampeni wa hadhara uliofanyika jioni ya leo kwenye 
uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora
 
 Sehemu ya umati wa wananchi wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John
 Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia jioni ya leo kwenye mkutano wa 
hadhara wa kampeni ndani ya uwanja wa Ali Hassa Mwinyi,mjini Tabora
 Wananchi wakishangilia wakati Dkt Magufuli alipokuwa akiwahutubia.















Hakuna maoni:
Chapisha Maoni