Waziri
 wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mohammed Aboud 
(Wanne kushoto waliokaa), Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Posta Tanzania,
 TPB, Profesa Litice Rutashobya, (watatu kushoto), Afisa Mtendaji Mkuu 
wa TPB, Sabasaba Moshingi, wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi na 
wanakijiji, mbele ya jengo la Kituo Cha Afya, Ungi, Shehia ya Msuka 
Mashariki, Mkoa wa Kaskazini Pemba, baada ya TPB kukabidhi jengo hilo 
kwenye hafla iliyofanyika Sptemba 17, 2015. Kituo hicho kimekamilishwa 
ujenzi wake na TPB.
Waziri
 Abloud, akikata utepe ikiwa ni ishara ya ufunguzi rasmi wa kituo hicho.
 Wanaoshuhudia ni pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya TPB, Profesa Letice 
Rutashobya, (katikati mwenye miwani) na Meneja Mkuu anayeshughulikia 
masuala ya shirika wa TPB, Noves A. Moses
Waziri
 Aboud, (wapili kulia), Profesa Letice Rutashibya, (wapili kushoto), 
Afisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Sabasaba Moshingi, (kulia) na Mbunge wa 
jimbo la Konde, Khatib Suleiman Haji, wakibadilishana mawazo mara baada 
ya ufunguzi wa jengo hilo la Kituo cha Afya
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni