TPB YAKADIDHI JENGO LA KITUO CHA AFYA PEMBA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mohammed Aboud (Wanne kushoto waliokaa), Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Posta Tanzania, TPB, Profesa Litice Rutashobya, (watatu kushoto), Afisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Sabasaba Moshingi, wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi na wanakijiji, mbele ya jengo la Kituo Cha Afya, Ungi, Shehia ya Msuka Mashariki, Mkoa wa Kaskazini Pemba, baada ya TPB kukabidhi jengo hilo kwenye hafla iliyofanyika Sptemba 17, 2015. Kituo hicho kimekamilishwa ujenzi wake na TPB.



Waziri Abloud, akikata utepe ikiwa ni ishara ya ufunguzi rasmi wa kituo hicho. Wanaoshuhudia ni pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya TPB, Profesa Letice Rutashobya, (katikati mwenye miwani) na Meneja Mkuu anayeshughulikia masuala ya shirika wa TPB, Noves A. Moses
Waziri Aboud, (wapili kulia), Profesa Letice Rutashibya, (wapili kushoto), Afisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Sabasaba Moshingi, (kulia) na Mbunge wa jimbo la Konde, Khatib Suleiman Haji, wakibadilishana mawazo mara baada ya ufunguzi wa jengo hilo la Kituo cha Afya

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni