Waziri
  mkuu wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Mizengo Pinda akiwa anakata 
utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua magari ya kubeba  wagonjwa ambayo 
ameyakabidhi leo  mkoani Arusha kwa ajili ya kupelekwa wilayani 
Ngorongoro kwa ajili ya kutumika kwa ajili ya  kubeba wagonjwa Picha na manyaraleo blog
 waziri pinda akiwasili  katika jengo la ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha
  Waziri mkuu akielekea kukabidhi rasmi magari mawili ya kubebea wagonjwa  
 mkuu
 wa mkoa wa Arusha akiongeozana na waziri mkuu kwa ajili ya makabidhiano
 ya magari ya kubebea wagonjwa yaliyoletwa na waziri
habari picha na Mahmoud Ahmad,Arusha
Waziri mkuu
 wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda leo  amekabithi 
magari mawili  ya kubebea  wagonjwa yenye dhamani ya shilingi milioni 
150.
Magari 
hayo ambayo yamekabidhiwa, yametokana na ahadi ambayo waziri huyo alitoa
 Kwa Wananchi wa wilaya ya ngorongoro wakati Alipofanya ziara wilaya ni 
humo september 2013.
Akizungumza
 wakati akikabidhi magari hayo waziri mkuu Mizengo Pinda  alisema wakati
 alipokuwa kwenye ziara wilaya ni humo, alipokea malalamiko ya 
kutakuwepo na magari ya kubebea  wagonjwa hali ambayo ili mfanya atoe 
ahadi nasasa ameamua kuitekeleza.
"nilipata
 malalamiko nikapeleka wizara ya afya, wakapokea na kaniambia watafanyia
 kazi sasa Kila  nikiwauliza Wakaniambia bado sasa nikabahatika kupata 
safari ya Kwenda japani nilipoenda Nitakuja na na Wananchi wa Tanzania 
wa naishi uko nikawaomba wa nisaidie japo gari moja ya kubebea wagonjwa 
sasa wao  ndio wakaja wakanipa magari haya mawili "alisema pinda
Alisema 
Kuwa mara baada ya kupokea magari hayo aliyafanyia ukarabati mdogo na 
sasa ameamua kuyaleta Mkoani ili yapelekwe katika wilaya husika ambapo 
alisema Kuwa mara baada ya kufikishwa wilaya ni ngorongoro  gari moja 
litatumika katika hospitali ya waso huku ingene ikitumika hospitali ya 
Enduleni.
Aidha aliwataka viongozi wa wilaya ya ngorongoro kutumia vyema magari hayo haswa katika shughuli
 iliolegwa, Pamoja na kuyatunza ili ya weze kutumika na kubeba wagonjwa 
wakati Mgonjwa anapotokea au tatizo la gafula linapotokea.
Aidha 
alibainisha Kuwa magari haya ameyatoa yeye mwenyewe  kutoka Kwa wa 
fadhili na sio magari ya wizara hivyo wakapokee haya wakijua ni ahadi ya
 waziri  mkuu, na sio ya wizara hivyo wapokee haya wakati wakiwa Wana 
ngoja magari ya kubebea wagonjwa kutoka wizarani
Alipokea 
msaada huo mkuu wa wilaya ya ngorongoro Ashimu Mgandila alisema Kuwa wa 
nashukuru sana Kwa msaada hii kwani Wananchi haswa wakina mama waja wa 
zito wali Kuwa wanateseka sana wakati walipo Kuwa wa naumwa. 
Alisema  Kuwa wali Kuwa na gari ya kubebea  wagonjwa lakini imearibika Kwa kipindi karefu ila hii itakuwa ni suluisho Kwa Wananchi wa wilaya hiyo.
Kwa 
upande wake mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya ngorongoro  John 
kulwa alisema Kuwa magari  haya ni ukumbozi hasa Kwa upande wa wamama 
Pamoja na wagonjwa mahututi kutaka katika Kila kata na Kila kaya.






Hakuna maoni:
Chapisha Maoni