Muonekano wa Jengo la Kitega uchumi Lumumba Business Complex, lililofunguliwa na Rais Kikwete mjini Kigoma Septemba 14, 2015.
                                                                                    Muonekano wa jengo hilo.
Rais
 Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kufungua jengo la kitega 
uchumi la Shirika la Nyumba la Taifa(National Housing Corporation) NHC 
Lumumba Complex mjini Kigoma Septemba 14, 2015. 
Wengine katika 
picha ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete,(watatu kushoto), Waziri wa 
Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.William Lukuvi,(wanne kushoto), 
Mkuu wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya,(Wapili kulia), Mkurugenzi Mkuu wa 
Shirika la Nyumba la Taifa NHC Bwana Nehemia Mchechu(kulia), na kushoto 
ni Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Kigoma mjini Mh.Peter Selukamba.
Rais
 Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua jiwe katika jiwe kuashiria kufungua 
rasmi jengo la kitega uchumi la Shirika la Nyumba la Taifa National 
Housing Lumumba Business Complex mjini Kigoma Septemba 14, 2015. Wapili 
kushoto ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete na watatu kushoto ni 
Mkurugenzi mkuu wa NHC Bwana Nehemia Mchechu.
Rais
 Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe wakati wa uzinduzi wa nyumba za
 bei nafuu zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa NHC eneo la Mlole 
mjini Kigoma Septemba 14, 2015. Wengine katika picha ni Waziri wa Ardhi 
Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.William Lukuvi(wapili kushoto), Mkuu 
wa Mkoa wa Kigoma Issa Machibya(wapili kulia), Mbunge mstaafu wa Kigoma 
mjini Mh.Peter Selukamba(wanne kjshoto), Mkurugenzi mkuu wa NHC Bwana 
Nehemia Mchechu kulia na kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma 
Ndugu Walid Kabouru.
Rais
 Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi 
wakati wa hafla ya uzinduzi mradi wa nyumba za bei nafuu NHC eneo la 
Mlole mjini Kigoma Septemba 14, 2015.Rais Kikwete yupo mkoani Kigoma kwa
 ziara ya kikazi ya siku mbili. Kulia ni Waziri wa Ardhi Nyumba na 
maendeleio ya Makazi Mh.William Lukuvi,Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma
 Issa Machibya na watatu kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba
 la Taifa(NHC) Bwana Nehemia Mchechu.
                                                                                                Picha ya pamoja.
Rais
 Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mamia ya wakazi wa mji wa kigoma 
wakati akingia katika uwanja wa michezo wa Lake Tanganyika ambapo 
alihutubia Mkutano wahadhara na kuwaaga rasmi wananchi wa mkoa wa 
Kigoma.  (Picha zote na Freddy Maro)
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni