Wananchi
 wa Mji wa Soni katika Jimbo la Bumbuli, wakimlaki kwa shangwe Mgombea 
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo 
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati akiwasili kwenye Uwanja wa 
Kisiwani, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni za Mgombea huyo  Septemba 
28, 2015.
Umati
 wa Wananchi wa Mji wa Soni katika Jimbo la Bumbuli, wakisikiliza sera 
za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na 
Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, wakati Mkutano wa Kampeni 
uliofanyika kwenye Uwanja wa Kisiwani, Septemba 28, 2015.
Waziri
 Mkuu wa Zamani, Mh. Fredrick Sumaye akihutubia wananchi kwenye Mkutano 
wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha 
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika 
kwenye Uwanja wa Kisiwani, Mji wa Soni katika Jimbo Bumbuli, Mkoani Tanga Septemba 28, 2015.
















Hakuna maoni:
Chapisha Maoni