Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa 
Nzega mapema leo mchana katika uwanja wa Barafu,kwenye mkutano wa 
hadhara wa kampeni,Dkt Magufuli anatarajia kuunguruma jioni ya leo mjini
 Tabora.
 Mgombea
 Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Nzega 
mapema leo mchana katika uwanja wa Barafu,kwenye mkutano wa hadhara wa 
kampeni,Dkt Magufuli anatarajia kuunguruma jioni ya leo mjini Tabora.
 Wakazi wa Nzega mkoani Tabora wakimsikiliza mgombea urais kwa tiketi ya
 CCM Dk.John Magufuli alipokuwa akiwahutubia mchana wa leo katika uwanja
 wa Barafu.
 Wakazi
 wa Nzega mkoani Tabora wakimsikiliza mgombea urais kwa tiketi ya CCM 
Dk.John Magufuli alipokuwa akiwahutubia mchana wa leo katika uwanja wa 
Barafu. 
 Mgombea
 urais wa CCM Dk.John Magufuli akisalimiana na mbunge anayemaliza muda 
wake katika jimbo la Nzega Mjini Dk.Hamis Kigwangala baada ya kuwasili 
kwenye jimbo hilo mchana wa leo.Kwa sasa anayegombea jimbo hilo ni 
Hussein Bashe na Dk.Kiwangala anagombea jimbo la Nzega Vijijini
 Mgombe,a
 urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Magufuli akipunga mkono juu ikiwa ni 
ishara ya kuwasilimia wananchi wa Nzega mkoani Tabora waliofika 
kumsikiliza na kumuona ikiwa ni muendelezo wa mikutano yake ya kuoamba 
kura za urais kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu
 Mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dk.John Magufuli akiteta jambo na mgombea ubung jimbo la Nzega Mjini mkoani Tabora leo mchana 
 Mgombea
 urais wa CCM Dk.John Magufuli aliyevaa kofia akizungumza jambo na 
Mgombea Ubunge wa jimbo la Nzega Mjini,Ndugu Hussein Bashe(katikati) na 
Mgombea Ubunge jimbo la Nzega Vijijini Dk.Hamis Kigwangala mchana wa leo
 walipokuwa kwenye mkutano wa kampeni za urais uliofanyika Uwanja wa 
Barafu wilayani Nzega mkoani Tabora
  Mgombea Ubunge jimbo la Nzega Vijijini Dk.Hamis Kigwangala akiwasalimia wananchi wa Nzega mchana wa 
leo walipokuwa kwenye mkutano wa kampeni za urais uliofanyika Uwanja wa 
Barafu wilayani Nzega mkoani Tabora
 Mgombea Ubunge jimbo la Nzega Vijijini Dk.Hamis Kigwangala akiwahutubia wananchi wa Nzega mchana wa 
leo walipokuwa kwenye mkutano wa kampeni za urais uliofanyika Uwanja wa 
Barafu wilayani Nzega mkoani Tabora
 
 Mgombea Ubunge wa jimbo la Nzega Mjini,Ndugu Hussein Bashe akiwahutubia
 wananchi walipokuwa kwenye mkutano wa kampeni za urais uliofanyika 
Uwanja wa 
Barafu wilayani Nzega mkoani Tabora. 
MMoja
 wa Makaba wa CCM ambaye yupo kwenye orodha ya timu ya kampeni ya 
kumnadi Mgombea Urais wa chama hicho Dkt John Magufuli,Stephen Masele 
akiwahutubia wananchi mapema leo mchana kwenye mkutano wa kampeni.












Hakuna maoni:
Chapisha Maoni