Waziri
 wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu akimnadi 
mgombea Ubunge pamoja na madiwa katika uzinduzi wa kampeni jimbo la 
Arusha mjini tarehe 5/9/2015 katika uwanja wa soko kuu jijini 
Arusha(Picha zote na Pamela Mollel wa jamiiblog Arusha)
Umati
 wa watu uliojitokeza katika uzinduzi wa kampeni za ccm jimbo la Arusha 
mjini katika ene la soko kuu jijini Arusha,ambapo rasmi walizindua 
kampeni za ubunge na udiwani
Mgombea
 ubunge jimbo la Arusha mjini kupitia chama cha mapinduzi ccm Philemon 
Mollel maarufu kwa jina naMonaban akimwaga sera zake katika uzinduzi huo
 ambapo alikiri kuleta mabadiliko makubwa ya kimaendeleo endapo ataibuka
 mshindi katika uchaguzi mkuu
Katibu wa CCM wilaya ya Arusha, Ferooz Bano ambaye pia ni msimamizi wa uchaguzi akiongea katika mkutano huo
Waziri
 wa Nchi Ofisi ya Rais Sera Mahusiano na Uratibu Dkt.Mary Nagu 
akisalimiana na wananchi waliojitokeza katika uzinduzi wa kampeni za CCM
 jimbo la Arusha mjini tarehe 5/9/2015 katika eneo la soko kuu jijini 
Arusha
Mjumbe wa halmashauri kuu  ya CCM Taifa kutoka Arusha mjini, Godfrey Mwalusamba akiongea katika uzinduzi huo
Mbunge viti maalum kundi la wanawake (UWT)Catherine Magige Mkoa wa Arusha akizungumza katika uzinduzi huo
Mbunge viti maalum na Kada maarafu kupitia chama cha Mapinduzi CCM, Violet Mfuko akiongea katika uzinduzi huo
Aliyekuwa
 dereva wa Mbunge Lema shubet akiongea jukwaani alisema hamuogopi lema 
kwa kuwa mbinu zake zote anazijua hivyo hawezi hata kuua mende nyumbani 
kwakwe licha ya kumtangazia atamtumia majambazi nyumbani kwakwe
Mbunge
 mstaafu kupitia CCM jimbo la Longido Lekule Laizer  maarufu kwa jina la
 "kiboko wa wapinzani" akiongea katika uzinduzi huo ,aliwataka wananchi 
wa Arusha kumchagua Monaban kwakuwa ni kiongozi muadilifu mwenye sifa ya
 kuwatumikia wananchi wa jimbo hilo





Hakuna maoni:
Chapisha Maoni