MAKUNDI MATANO YATINGA FAINALI YA DANCE100%

Wasanii wa Kundi la Makolokocho jijini Dar es Salaam, wakionyesha umahiri wao wa kusakata dansi  wakati wa  Nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ambapo makundi matano(5)yaliingia fainali itakayofanyika mwezi wa kumi.

 Wasichana  wanaounda kundi la cute Babies kutoka Keko  wilaya ya Ilala wakionyesha mbwembwe zao wakati wa  Nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ambapo makundi matano(5)yaliingia fainali itakayofanyika mwezi wa kumi
 Vijana wanaounda kundi la The Winner Crews kutoka Kiwarani  jijini  Dar es Salaam, wakikonga nyoyo za mashabiki waliojitokeza kwenye onyesho la Nusufainali ya  shindano la Dance 100% 2015, wakati wa  Nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ambapo makundi matano(5)yaliingia fainali itakayofanyika mwezi wa kumi
 Vijana wanaounda kundi la The Winner Crews kutoka Kiwarani  jijini  Dar es Salaam, wakikonga nyoyo za mashabiki waliojitokeza kwenye onyesho la Nusufainali ya  shindano la Dance 100% 2015, wakati wa  Nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ambapo makundi matano(5)yaliingia fainali itakayofanyika mwezi wa kumi
Vijana wanaounda kundi la Timu ya shamba la jijini  Dar es Salaam, wakikongo nyoyo za mashabiki waliojitokeza kwenye onyesho la Nusufainali ya  shindano la Dance 100% 2015, wakati wa  Nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ambapo makundi matano(5)yaliingia fainali itakayofanyika mwezi wa kumi
 Baadhi ya mashabiki waliojitokeza kwenye nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 wakifuatilia shindano hilo, wakati wa  Nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ambapo makundi matano(5)yaliingia fainali itakayofanyika mwezi wa kumi
 Kundi la Wazawa crew  la Tandale jijini Dar es Salaam, wakionyesha umahiri wao wa kusakata dansi  wakati wa  Nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ambapo makundi matano(5)yaliingia fainali itakayofanyika mwezi wa kumi
 Vijana wanaounda Kundi la WDW la  jijini Dar es Salaam, wakionyesha umahiri wao wa kusakata dansi wakati wa  Nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ambapo makundi matano(5)yaliingia fainali itakayofanyika mwezi wa kumi 
 Kundi la Quality Boys la  Temeke jijini Dar es Salaam, wakionyesha umahiri wao wa kusakata dansi wakati wa  Nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ambapo makundi matano(5)yaliingia fainali itakayofanyika mwezi wa kumi
 Vijana wanaounda Kundi la WDW la  jijini Dar es Salaam, wakionyesha umahiri wao wa kusakata dansi wakati wa  Nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ambapo makundi matano(5)yaliingia fainali itakayofanyika mwezi wa kumi 
 Majaiji wakiwa kazini kwa ajili ya kupata  makaundi matano bora yaliyoingia fainali wakati wa  Nusu fainali ya shindano la Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ambapo makundi matano(5)yaliingia fainali itakayofanyika mwezi wa kumi.
Baadhi ya Vijana wanaounda kundi la Majoker Crew la  Msasani Wilaya ya Kinondoni, wakikongo nyoyo za mashabiki wakati wa nusufainali  ya shindano la Dance 100% 2015 lililoandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania lilifanyika kwenye viwanja vya Don Bosco Oysterbay Kinondoni jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Ambapo makundi matano(5)yaliingia fainali itakayofanyika mwezi wa kumi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni