Pichani
 ni Mwalimu Hosea Daniel kutoka Kituo cha Masomo ya Ziada (Tuition) 
kiitwacho Foluma Tuition Centre kilichopo Tarime Mkoani Mara akiwa 
darasani.
Na:Binagi Media Group
Mwl.Daniel
 anasema kuwa Masomo ya ziada ni mhimu kwa mwanafunzi kwa kuwa husaidia 
katika kukuza uelewa na ufahamu kwa mwanafunzi na hivyo kuongeza ufaulu 
kwa mwanafunzi.
Pichani
 ni Mwalimu Hosea Daniel kutoka Kituo cha Masomo ya Ziada (Tuition) 
kiitwacho Foluma Tuition Centre kilichopo Tarime Mkoani Mara akiwa 
darasani.
Kushoto
 ni Madam Elizabeth Daniel akiwa pamoja na Mwalimu Hosea Daniel. Wote ni
 kutoka Kituo cha Masomo ya Ziada (Tuition) kiitwacho Foluma Tuition 
Centre kilichopo Tarime Mkoani Mara akiwa darasani.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni