
Kundi hilo limekuwa likitumia makombora ya roketi katika mashambulizi yake siku za nyuma na Wanaigeria wengi walikuwa wakihoji Boko Haram wanaizitoa wapi silaha hiyo..
Picha hizo zinaashiria kuwa wapiganaji wa Boko Haram wanaujuzi wa kutengeneza makombora ya roketi katika kiwanda hicho.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni