Bi.Anne Killango Malecela akitoa somo
 Wanawake wa TBL Arusha katika picha ya pamoja na Bi.Killango
 Wanawake wa TBL Mbeya wakipata burudani na Mkuu wa wilaya
 Jaji De-Mello
akiongea na wanawake wa TBL Group wa Mwanza
 Mkuu wa wilaya ya Kyela Bi.Ntara akitoa somo
| Baadhi ya washiriki wa TBL forum Mwanza wakiwa kwenye picha ya pamoja | 
![]()  | |
| Baadhi ya washiriki wa Forum wa Arusha wakiwa na Bi.Killango | 
Wafanyakazi  wanawake wa TBL Group wa  Mwanza,Mbeya na Arusha  wapatiwa elimu ya mafanikio
-Ni kupitia
makongamano ya TBL Forum
Kampuni ya
TBL Group mwishoni mwa wiki iliandaa kongamano la kuwajengea uwezo wa mbinu za
mafanikio kwa wafanyaazi wanawake katika mikoa ya Arusha,Mbeya na Mwanza
ambapowalipata kujifunza mbinu za mafanikio na jinsi ya kujiamini katika  kazi zao.
Wazungumzaji
wakuu katika kongamano hilo  la TBL Women
Forum walikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Kyela,Bi.Thea Ntara (Mbeya),Bi.Anne
Malecela Killango (Arusha) na Jaji Joaquine De-Mello ambao walitumia elimu na
uzoefu mkubwa walionao katika kazi kuwaelimisha waawae wenzao mbinu za kupata mafanikio
ambapo walisisitiza kufanya kazi kwa bidii na kwa ufanisi na kujiamini.






Hakuna maoni:
Chapisha Maoni