KIMBUNGA KINACHAOMBATANA NA MVUA CHALETA MAAFA UINGEREZA

Kimbunga kinachoambatana na mvua kiitwacho Katie kimesababisha usumbufu kwa usafiri wa barabarani, usafiri wa treni na wa ndege baada ya kuikumba Uingereza kikiwa na kasi ya 105mph.

Watu waliokuwa wanarejea kutoka nchi za nje walijikuta wakikabiliwa na hali ya hofu katika uwanja wa ndege wa Gatwick na Heathrow, wakati marubani wakipata wakati mgumu kutua na kwa wale walio majumbani kuta za nyumba na miti ilianguka.
                           Ndege ndogo ikiwa imepinduliwa na upepo wa kimbunga Katie
            Mti ukiwa umeangukia gari katika moja ya eneo nchini Tonbridge, Kent
                                 Gari likiwa limezolewa nje ya barabara na kimbunga Katie

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni