wageni
 wa alikwa wakiwa wanashangilia ndani ya kiota kipya cha BATA VILA 
LOUNGE kilichopo sakina jijini  Arusha wanakwambia apa ni fuluuuu Bata 
kwa kwenda mbele 
 ulikuwa ni usiku wa staree tu ndani ya bata vila loungle sakina  wanakuambia njoo usikilize mziki laini na wa kistaarabu  
 chezea mtu na shemeji yake wewe nao walikuwa wanapata raha ndani ya ukumbi mpya wa bata vila sakina ni shidaaaaaaaaaaaaaa
 BATA VILA   lounge utakutana na wadada wa kila aina wadada watanashati wadada wa ukweli na wanawake wote wa nguvu 
 walikutana pia waliokuwa awajaonana 
mda mrefu  ndani ya ukumbi  huu wanakwambia staree ni mpaka ukimbie 
mwenyewe ni kuanzia jumatatu hadi   jumatatu 
mkurugenzi wa Libeneke la kaskazini blog kati kati woinde shizza  akiwa na wadau ndani ya Bata Vila Lounge  kwa sasa hivi ndio habari ya A-Town ni shida 












Hakuna maoni:
Chapisha Maoni