Mkurugenzi
 Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan , 
maoja na msafara wake wakiwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 
Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es alaam leo. 
 
Mkurugenzi
 Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari, 
(wapili kushoto) akiwa na maofisa wa Ubalozi wa Kuwait hapa nchini 
kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar 
es alaam wakimsubiria Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga 
Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan aliyewasili nchini kwa ajili ya kusaini
 makubaliano ya safari za Anga baina ya Tanzania na Kuwait. 
 
Mkurugenzi
 Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari 
(Kushoto)akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga 
Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan ,mara baada ya kuwasili kwenye uwanja 
wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam 
leo,Kwa ajili ya kusaini makubaliano ya safari za Anga baina ya Tanzania
 na Kuwait. 
 
Mkurugenzi
 Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari, 
(wapili kushoto) akiwa kwenye gari pamoja na wageni wake kushoto ni 
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait ,Mhandisi Yousef Al
 Fozan na Kulia ni Ofisa Mwandamizi wa Ubalozi wa Kuwait Nchini, Mohamed
 Rashid Alamiri, mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa 
Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es alaam leo,Kwa ajili ya 
kusaini makubaliano ya safari za Anga baina ya Tanzania na Kuwait. 
 
Mkurugenzi
 Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari, 
(wapili kushoto) akiwa na mgeni wake Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya 
Usafiri wa Anga Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan, wakati alipowasili 
kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar 
es alaam kwa ajili ya kusaini makubaliano ya safari za Anga baina ya 
Tanzania na Kuwait. 
 
Mkurugenzi
 Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan 
,(Kulia) akimfafanulia jambo Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa 
Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari, kuhusiana na usafiri wa Anga mara 
baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere 
(JNIA) jijini Dar es alaam leo,Kwa ajili ya kusaini makubaliano ya 
safari za Anga baina ya Tanzania na Kuwait. 
 
 
 
 
 
 
  
 
 
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni