Rais
 wa Vietinam, Truong Tan Sang na Mkewe Mai Thi Hanh  wakiwapungia 
wananchi huku wakiongozwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuelekea 
kwenye ndege yao kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es 
salaam  wakati walipoondoka nchini Machi11, 2016. (Picha na Ofisi ya 
Waziri Mkuu)
Rais
 wa Vietinam, Truong  Tan Sang akiagana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa 
kwenye uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam  wakati 
alipoondoka nchini  Machi 11, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Rais
 wa Vietinam, Truong Tan Sang na Mkewe Mai Thi Hanh   wakiagana  na 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuelekea kwenye ndege yao kwenye uwanja wa 
ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam  wakati walipoondoka nchini
 Machi11, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mpiga
 picha aliyeambatana na Rais wa Vietinam katika ziara yake nchini 
akicheza ngoma kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es 
salaam kabla ya kuondoka nchini kwa Rais wake , Truong Tan Sang, Machi 
11, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni