Mratibu
wa Mashindano ya Mbio za Magari ya Vaisakh Rally 2016 ,Faheem Aloo
akiwa na Mwenyekiti wa matukio wa klabu ya Kilimanjaro Motorspot ,Juma
Shaaban.
Mratibu
wa Mashindano ya Mbio za Magari ya Vaisakh Rally 2016 ,Faheem
Alooakizungumza na waandishi wa habari (hawako pichani ) kuhusu
maandalizi ya Mbio za Vaisakh Rally 2016 zinazofanyika Jumapili hii
katika viwanja vya KIA.

Mkuu wa Usalama wa Kampuni ya Security Group (SGA) Absolom Jailo
akizungumza namna ambavyo kampuni hiyo imejipanga kuimarisha ulinzi
katika mshindano hayo.
Mkuu
wa Huduma ya Kwanza katika mashindano hayo Dkt Akshay Prataap akieleza
namna walivyojipanga kutoa huduma ya kwanza endapo kutatokea tatizo kwa
madereva wanaoshiriki mbio hizo.
Zawadi kwa washindi.
Hari Singh Rally Team ni moja ya madereva walioingiza gari mpya aina ya Subaru za mwaka 2015 katika mashindano hayo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni