Waziri
 Mkuu, Kasim Majaliwa akimsalimia Pedelia Erenius na mwanwe Alia James( 
miezi saba) wakati alipotembelea wodi ya wanawake na watoto katika 
hospitali ya mkoa wa Kagera mjini Bukoba Machi 15, 2016.
 Waziri
 Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na madaktari na waguzi wa hospitali 
ya mkoa wa Kagera hospitalini hapo mjini Bukoba Machi 15, 2016. 
 Baadhi
 ya Madaktari na Wauguzi wa Hospitali  ya mkoa wa Kagera wakimsikiliza 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakti alipozungumza nao hospitalini hapo 
mjini Bukoba Machi 15, 2016. 
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni