BREAKING NEWS: NDEGE YA MISRI ILIYOTEKWA YATUA CYPRUS

Ndege ya abiria ya Misri imelazimika kwenda kutua nchini Cyprus baada ya kutekwa na mwanaume mmoja aliyevaa vesti ya mabomu.

Ndege hiyo ya EgyptAir aina ya MS181 ilikuwa ikitoka Alexandria kwenda Cairo ilipoomba kutua kwa dharura uwanja wa ndege wa Larnaca nchini Cyprus ikiwa na abiria 62.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni